Hayo yameejii 17/8/2024 katika Viwanja vya Don Bosco Oyster bay ambapo Bonanza hilo lilifanyika kwa watoto yyatia kucheza michezo mbalimbali, kupata chakula na kupewa zawadi mbalimbali. Akiongea mwakilishi wa Happy children Tanzania katika Bonanza hilo Bi. Nahya Kassim amesema watoto yatima wanatuhitaji jamii kuwaonyesha upendo ili waweze kujisikia vizuri pia